Lyrics Buruklyn Boyz – Dream Ya Kutoka Kwa Block | New Today Lyrics

Are you searching for
Buruklyn Boyz – Dream Ya Kutoka Kwa Block
lyrics? Would you like to see this lyrics? If that’s the case, then you can watch it right here.

View lyrics
Buruklyn Boyz – Dream Ya Kutoka Kwa Block
| Lyrics of new songs.

Tano Nane

(Chorus)
Tulikam na dream ya kutoka kwa block
Yaani to get rich, tuomoke in-short
Nikilala mi huacha maisha yangu, kwa mikono ya God
Nadai mkumbuke when am gone, mwendelee kuplay our songs
Ajay na M.Right duo strong

(Chorus)
Tulikam na dream ya kutoka kwa block
Yaani to get rich, tuomoke in-short
Nikilala mi huacha maisha yangu, kwa mikono ya God
Nadai mkumbuke when am gone, mwendelee kuplay our songs
Ajay na M.Right duo strong

(Verse 1)
Sasa wanalipa kuwatch nikipull-up na kirifle
Society inadhani tunafumble
Ati wao wanacheki kwa mneti kama ma idol
Wanatupenda ju tunaenda viral
Nilikuwa kwa mood mbaya nikaseti kishash nikakuwa ital
Kwa ground mambo ni nare maboy wanafaa wareform
Lakini watareform aje
Na washajua ganji ilitoka na ndom
Niko safe niko seti hizi zone
Huwezi nishow venye we ni mrong
Kama anaita mbogi am sure niko na watu strong
Hizi streets inataka kuwa mpole man yoh ama utapangwa
Mresh wako asichekе na mgoon
Huku East ama atamangwa
Pereka huko ukidhani atajali hautalambwa
Mkono zinateta bеfore atolewe chai ataganda
(for real, for real)

(Chorus)
Tulikam na dream ya kutoka kwa block
Yaani to get rich, tuomoke in-short
Nikilala mi huacha maisha yangu, kwa mikono ya God
Nadai mkumbuke when am gone, mwendelee kuplay our songs
Ajay na M.Right duo strong

(Chorus)
Tulikam na dream ya kutoka kwa block
Yaani to get rich, tuomoke in-short
Nikilala mi huacha maisha yangu, kwa mikono ya God
Nadai mkumbuke when am gone, mwendelee kuplay our songs
Ajay na M.Right duo strong

(Verse 2)
Uh nilikuwa na chong na mi nadai hizo matrophy
Na ka unani-owe ma ganji man
Mi nadai kuwa na profit
That’s why mi hukuwa kwa office
Men in black tu na rock ma koti
Let see mi hutrust manoti
Maisha yangu naachia Sir God
Flow ni ya kimaajabu na hii beat ni chopi
B Boys si huset matrends na si huset ma subject
Na nimekam nimerock my blue fam, chini ni red carpet
Mafan wanadishi talent hadi day watablow hio trumpet
Shash iko joh kwa chalice mi najikill close hio curtain
Na mi sidai ma opps wajue vile nadraw hio pattern
Huku daily si hurun ma opps na unaeza dhani ni circus
Buruklyn Boyz tulileta frakass kama ni drill close hio chapter

(Chorus)
Tulikam na dream ya kutoka kwa block
Yaani to get rich, tuomoke in-short
Nikilala mi huacha maisha yangu, kwa mikono ya God
Nadai mkumbuke when am gone, mwendelee kuplay our songs
Ajay na M.Right duo strong

(Chorus)
Tulikam na dream ya kutoka kwa block
Yaani to get rich, tuomoke in-short
Nikilala mi huacha maisha yangu, kwa mikono ya God
Nadai mkumbuke when am gone, mwendelee kuplay our songs
Ajay na M.Right duo strong 

Above is all the
Buruklyn Boyz – Dream Ya Kutoka Kwa Block
lyrics that you need to find.

Xem ngay Wish you find the lyrics of your favorite music.

Search related to topics
Buruklyn Boyz – Dream Ya Kutoka Kwa Block
lyric.

#Buruklyn #Boyz #Dream #Kutoka #Kwa #Block.

In addition to this
Buruklyn Boyz – Dream Ya Kutoka Kwa Block
you can see more lyrics here: See here.

Thank you.